Duka Kubwa La Kijerumani Lafutilia Mbali Misalaba
Lidl walieleza katika mataifa kadhaa kuwa uamuzi huu uliafikiwa ili kuheshimu "utofauti", madai ambayo yanasingizia kuhusisha aina tofauti ya watu, vikundi au mashirika lakini ni kana kwamba ukweli unawaepua Wakristo.
Tawi la duka la Lidl nchini Australia ndilo la pekee kuomba msamaha kwa walichokiita "makosa".
Kadinali Dominik Duka wa Prague, Taifa la Czech, siku ya Jumatatu aliita jambo hili katika barua kwa Ubalozi wa Ugiriki, "kitendo chs ujeuri na kisicho na mila". Duka anahofia kuwa hatua itakayofuatia ni kuwa hatimaye misalaba itaondolewa kwenye Makanisa halisi.
#newsOjjievhpot